Jeremiah 6:16

16 aHivi ndivyo asemavyo Bwana:

“Simama kwenye njia panda utazame,
ulizia mapito ya zamani,
ulizia wapi ilipo njia nzuri, uifuate hiyo,
nanyi mtapata raha nafsini mwenu.
Lakini ninyi mlisema, ‘Hatutaipita hiyo.’
Copyright information for SwhNEN